Friday, November 09, 2007

Uwanja wa zamani unavyoonekana leo



Baada ya kuja wataalamu wa fifa na kisha ffifa yenyewe kutupa jamvi hili la kusakatia kabumbu uwanja wetu wa zamani sasa unaonekana hivi, lakini kwa mbali unaweza kuona Uwanja mpya wa taifa.

No comments:

RAIS DKT. MWINYI: TUWALEE VIJANA KATIKA MAADILI, TUDUMISHE AMANI KUELEKEA UCHAGUZI

Zanzibar, 11 Julai 2025 — Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ametoa wito wa kitaifa kwa ...