Friday, November 09, 2007

Uwanja wa zamani unavyoonekana leo



Baada ya kuja wataalamu wa fifa na kisha ffifa yenyewe kutupa jamvi hili la kusakatia kabumbu uwanja wetu wa zamani sasa unaonekana hivi, lakini kwa mbali unaweza kuona Uwanja mpya wa taifa.

No comments:

NAIBU WAZIRI WA FEDHA AMWAKILISHA WAZIRI WA FEDHA KATIKA KONGAMANO LA 16 LA MWAKA LA WATAALAM WA UNUNUZI NA UGAVI – ARUSHA

Naibu Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Mhandisi Mshamu Ali Munde, amemwakilisha Waziri wa Fedha katika ufunguzi wa Kongamano la 16 la Mwaka la Wa...