Friday, November 16, 2007

MSHINDI WA BIG BROTHER HOUSE II, RICHARD BUZENHOUT ATEMBELEA MWANANCHI COMMUNICATIONS



Mshindi wa Big Brother House II Richard Buzenhout akiwa  na Mhariri Mtendaji wa Mwananchi Communications Theophil Makunga

Mshindi wa Big Brother House II, Richard Buzenhout, ametembelea kijiweni kwetu leo. Picha ya juu anaonekana akiwa na Yahya Charahani wa charaz.blogspot.com ambaye pia ni Mhariri wa Habari wa Gazeti la Mwananchi. Picha ya kati anaonekana na Mhariri Mtendaji wa Mwananchi Communications, Theophil Makunga, huku kwenye picha ya chini akiwa na Mkurugenzi wa Mwananchi Communications, Sam Sollei. Sote kwa pamoja tumefurahishwa na ushindi wake. Picha kwa hisani ya mdau Erick Kalunga.

Mdau Mrocky Mrocky katika pozi na Richard

2 comments:

Anonymous said...

Mh charahani salama mkubwa.?
hongera kwa kuliendeleza libeneke
kwa ujuzi wa hali ya juuu.. leo nimepita hapa kwako nakuchota mavumba kama kawaida..
kaza buti mkuu, tupo pamoja..
Admin
www.Haki-hakingowi.blogspot.com

Vempin Media Tanzania said...

sawa kaka hakuna mashaka tuko pamoja tunasonga mbele

RAIS SAMlA AFANYA MAZUNGUMZO NA MJUMBE MAALUM WA RAIS TSHISEKEDI

  Dar es Salaam, 26 Machi 2025 – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan , amekutana na kufanya mazungu...