Friday, November 16, 2007

Richard yupo kwetu leo







Mshindi wa Big Brother House II Richard Buzenhout akiwa kijiweni kwetu leo, kwa juu yuko na Yahya Charahani wa charaz.blogspot.com na picha ya ya kati yuko na Mhariri Mtendaji wa Mwananchi Communications Theophil Makunga na chini yuko na Mkurugenzi wa Mwananchi Communications Sam Sollei. Wote kwa pamoja tumefurahishwa sana na ushindi wake. Picha kwa hisani ya mdau Erick Kalunga



Mdau Mrocky Mrocky katika pozi na Richard

2 comments:

Anonymous said...

Mh charahani salama mkubwa.?
hongera kwa kuliendeleza libeneke
kwa ujuzi wa hali ya juuu.. leo nimepita hapa kwako nakuchota mavumba kama kawaida..
kaza buti mkuu, tupo pamoja..
Admin
www.Haki-hakingowi.blogspot.com

mzee wa mshitu said...

sawa kaka hakuna mashaka tuko pamoja tunasonga mbele