Friday, November 16, 2007

MSHINDI WA BIG BROTHER HOUSE II, RICHARD BUZENHOUT ATEMBELEA MWANANCHI COMMUNICATIONS



Mshindi wa Big Brother House II Richard Buzenhout akiwa  na Mhariri Mtendaji wa Mwananchi Communications Theophil Makunga

Mshindi wa Big Brother House II, Richard Buzenhout, ametembelea kijiweni kwetu leo. Picha ya juu anaonekana akiwa na Yahya Charahani wa charaz.blogspot.com ambaye pia ni Mhariri wa Habari wa Gazeti la Mwananchi. Picha ya kati anaonekana na Mhariri Mtendaji wa Mwananchi Communications, Theophil Makunga, huku kwenye picha ya chini akiwa na Mkurugenzi wa Mwananchi Communications, Sam Sollei. Sote kwa pamoja tumefurahishwa na ushindi wake. Picha kwa hisani ya mdau Erick Kalunga.

Mdau Mrocky Mrocky katika pozi na Richard

2 comments:

Anonymous said...

Mh charahani salama mkubwa.?
hongera kwa kuliendeleza libeneke
kwa ujuzi wa hali ya juuu.. leo nimepita hapa kwako nakuchota mavumba kama kawaida..
kaza buti mkuu, tupo pamoja..
Admin
www.Haki-hakingowi.blogspot.com

Vempin Media Tanzania said...

sawa kaka hakuna mashaka tuko pamoja tunasonga mbele

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...