Tuesday, November 27, 2007


Duhhh ktika pita pita yangu nimekutana na huyu jamaa mtandaoni hakika amekuja na ubunifu wa ajabu ambao haujawahi kuwapo katika ulimwengu wetu wa mablogu, huyu jamaa hakika anachokifanya si cha kupuuza hata kidogo, amebuni na sasa bila shaka atavuna matunda ukitaka kumcheki unaweza kumtembelea kibandani kwake anaitwa KENNEDY eeee bwana anatisha kweli kweli kweli.

No comments:

RAIS DKT. MWINYI: TUWALEE VIJANA KATIKA MAADILI, TUDUMISHE AMANI KUELEKEA UCHAGUZI

Zanzibar, 11 Julai 2025 — Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ametoa wito wa kitaifa kwa ...