Tuesday, November 27, 2007


Duhhh ktika pita pita yangu nimekutana na huyu jamaa mtandaoni hakika amekuja na ubunifu wa ajabu ambao haujawahi kuwapo katika ulimwengu wetu wa mablogu, huyu jamaa hakika anachokifanya si cha kupuuza hata kidogo, amebuni na sasa bila shaka atavuna matunda ukitaka kumcheki unaweza kumtembelea kibandani kwake anaitwa KENNEDY eeee bwana anatisha kweli kweli kweli.

No comments:

RC ARUSHA APOKEA UJUMBE WA MABUNGE DUNIANI (IPU)

  . Kufanya Mkutano wa Mabunge Mkoani Arusha  .Wajumbe zaidi ya 1500 kutoka nchi wanachama wa IPU kuhudhuria  . Rais Dkt. Samia apendekezwa ...