Tuesday, November 27, 2007


Duhhh ktika pita pita yangu nimekutana na huyu jamaa mtandaoni hakika amekuja na ubunifu wa ajabu ambao haujawahi kuwapo katika ulimwengu wetu wa mablogu, huyu jamaa hakika anachokifanya si cha kupuuza hata kidogo, amebuni na sasa bila shaka atavuna matunda ukitaka kumcheki unaweza kumtembelea kibandani kwake anaitwa KENNEDY eeee bwana anatisha kweli kweli kweli.

No comments:

MAMA NEEMA MWIGULU AHIMIZA TAASISI KUUNGA MKONO JUHUDI ZA SERIKALI KUPITIA UWAJIBIKAJI KWA JAMII

Mwenza wa Waziri Mkuu, Mama Neema Mwigulu Nchemba, amehimiza taasisi za umma na binafsi kuendelea kuunga mkono juhudi za Serikali katika kub...