MWENYEKITI WA CHAMA CHA MAPINDUZI, JAKAYA MRISHO KIKWETE AMEMTEUA PIUS MSEKWA SPIKA MSTAAFU WA BUNGE LA JAMHURI WA MUUNGANO WA TANZANIA, KUWA MGOMBEA PEKEE WA NAFASI YA UMAKAMU MWENYEKITI CCM TANZANIA BARA. Na KWAMBA KAMATI KUU NA HALMASHAURI KUU ZIMEMPITISHA NA SASA ANAASUBIRI TU KUPIGIWA KURA ZA NDIYO AU HAPANA NA MKUTANO MKUU. KATIBU MKUU WA CHAMA CHA MAPINDUZI YUSUF MAKAMBA AMEZUNGUMZA NA WAANDISHI WA HABARI NA AKATHIBITISHA NA KUSEMA MAKAMU MWENYEKITI MSTAAFU MZEE MALECHELA ATAKUWA MJUMBE WA KUDUMU WA NEC NA CC. TAARIFA ZAIDI HUSUSANI JUU YA TAFSIRI YA HABARI HII ZINAKUJA.
Friday, November 02, 2007
BREAKING NEWS...!! MSEKWA MAKAMU M/KITI CCM
MWENYEKITI WA CHAMA CHA MAPINDUZI, JAKAYA MRISHO KIKWETE AMEMTEUA PIUS MSEKWA SPIKA MSTAAFU WA BUNGE LA JAMHURI WA MUUNGANO WA TANZANIA, KUWA MGOMBEA PEKEE WA NAFASI YA UMAKAMU MWENYEKITI CCM TANZANIA BARA. Na KWAMBA KAMATI KUU NA HALMASHAURI KUU ZIMEMPITISHA NA SASA ANAASUBIRI TU KUPIGIWA KURA ZA NDIYO AU HAPANA NA MKUTANO MKUU. KATIBU MKUU WA CHAMA CHA MAPINDUZI YUSUF MAKAMBA AMEZUNGUMZA NA WAANDISHI WA HABARI NA AKATHIBITISHA NA KUSEMA MAKAMU MWENYEKITI MSTAAFU MZEE MALECHELA ATAKUWA MJUMBE WA KUDUMU WA NEC NA CC. TAARIFA ZAIDI HUSUSANI JUU YA TAFSIRI YA HABARI HII ZINAKUJA.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...

-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
(Picha na Yahya Charahani) Kwa wale waliokulia maeneo haya, hili ni jambo la kawaida ukitoka mjini, shambani sijui hadi wapi kote ni haya h...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
1 comment:
YAHYA TUPE HABARI /PICHA ZAIDI
MAANA NI KUFA NA KUPONA
Post a Comment