Friday, November 23, 2007

Mkurugenzi wa Tanesco afuta uamuzi wake

Habari zilizotufikia hivi punde zinasema kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) amefuta uamuzi wake wa kujiuzulu baada ya kukaa na kutaf akari maauzi yake ya juzi na kwamba anarejea kazini bila ya masharti yoyote. Maamuzi haya yamethitishwa na bodi ya Tanesco. Jamani Mna maswaaliiiiii?????

1 comment:

Anonymous said...

Mh mimi na swali, hapo mwanzoni
alikua chini ya shinikizo la nani?
taifa linahitaji kujua Mh charahani maaana wingula wasiwasi
limetanda...
Nduguyo
Admin
www.Haki-hakingowi.blogspot.com

RAIS DKT. MWINYI: TUWALEE VIJANA KATIKA MAADILI, TUDUMISHE AMANI KUELEKEA UCHAGUZI

Zanzibar, 11 Julai 2025 — Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ametoa wito wa kitaifa kwa ...