Friday, November 23, 2007
Mkurugenzi wa Tanesco afuta uamuzi wake
Habari zilizotufikia hivi punde zinasema kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) amefuta uamuzi wake wa kujiuzulu baada ya kukaa na kutaf akari maauzi yake ya juzi na kwamba anarejea kazini bila ya masharti yoyote. Maamuzi haya yamethitishwa na bodi ya Tanesco. Jamani Mna maswaaliiiiii?????
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
RAIS DKT. MWINYI: TUWALEE VIJANA KATIKA MAADILI, TUDUMISHE AMANI KUELEKEA UCHAGUZI
Zanzibar, 11 Julai 2025 — Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ametoa wito wa kitaifa kwa ...

-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
1 comment:
Mh mimi na swali, hapo mwanzoni
alikua chini ya shinikizo la nani?
taifa linahitaji kujua Mh charahani maaana wingula wasiwasi
limetanda...
Nduguyo
Admin
www.Haki-hakingowi.blogspot.com
Post a Comment