Monday, November 05, 2007

Mambo Dodoma







Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya kikwete akiingia na wasauduzi wake wa
juu, Katibu Mkuu, Yusuph Makamba (Kushoto), Makamu Bara, John Malechela na makamu
Zanzibar Amani Karume mambo yanaendelea endelea kuangalaia humu matokeo yatatangazwa muda si mrefu

No comments:

Rais Samia Aongoza Kikao cha Kamati Kuu ya CCM Taifa Jijini Dodoma

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameongoza kikao mu...