Monday, November 05, 2007

Mambo Dodoma







Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya kikwete akiingia na wasauduzi wake wa
juu, Katibu Mkuu, Yusuph Makamba (Kushoto), Makamu Bara, John Malechela na makamu
Zanzibar Amani Karume mambo yanaendelea endelea kuangalaia humu matokeo yatatangazwa muda si mrefu

No comments:

WAZIRI MKUU: SERIKALI YAENDELEA KUHAKIKISHA MAFUTA HAYAADIMIKI NCHINI

Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali imeendelea kuchukua hatua mbalimbali kuhakikisha upatikanaji wa mafuta nchini unaendelea ...