Monday, November 05, 2007

Mambo Dodoma







Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya kikwete akiingia na wasauduzi wake wa
juu, Katibu Mkuu, Yusuph Makamba (Kushoto), Makamu Bara, John Malechela na makamu
Zanzibar Amani Karume mambo yanaendelea endelea kuangalaia humu matokeo yatatangazwa muda si mrefu

No comments:

MHE. NDEJEMBI AHIMIZA USHIRIKIANO WA WAKUU WA MIKOA NA WILAYA KATIKA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA NISHATI

Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, leo tarehe 22 Januari, 2026, amezungumza katika Mkutano wa Tathmini ya Utekelezaji wa Mkataba w...