Saturday, November 03, 2007

Mambo ya Dodoma





Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha Mwakilishi wa ANC ya Afirka ya kusini Jackob Zuma katika mkutano mkuu wa 8 wa CCM uliofanyika huko Kizota mjini Dodoma leo. Mkutano Mkuu wa CCM, unafanyika mjini Dodoma kuanzia Jleo na kesho, kesho ndo unafanyika uchaguzi mkuu ndani ya chama. Picha za Ikulu

No comments:

MAMA NEEMA MWIGULU AHIMIZA TAASISI KUUNGA MKONO JUHUDI ZA SERIKALI KUPITIA UWAJIBIKAJI KWA JAMII

Mwenza wa Waziri Mkuu, Mama Neema Mwigulu Nchemba, amehimiza taasisi za umma na binafsi kuendelea kuunga mkono juhudi za Serikali katika kub...