Saturday, November 03, 2007

Mambo ya Dodoma





Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha Mwakilishi wa ANC ya Afirka ya kusini Jackob Zuma katika mkutano mkuu wa 8 wa CCM uliofanyika huko Kizota mjini Dodoma leo. Mkutano Mkuu wa CCM, unafanyika mjini Dodoma kuanzia Jleo na kesho, kesho ndo unafanyika uchaguzi mkuu ndani ya chama. Picha za Ikulu

No comments:

KAMISHNA BADRU ATAKA UBUNIFU ILI KUENDELEZA MAPANGO YA AMBONI

KAMISHNA BADRU ATAKA UBUNIFU ILI KUENDELEZA MAPANGO YA AMBONI  Na Hamis Dambaya, Amboni Tanga. Kamishna wa Uhifadhi Mamlaka ya Hifadhi ya Ng...