Friday, November 23, 2007

Ripoti ya muhimbili


Duhhh limeibuka soo jingine, Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii , Profesa David Mwakyusa ameitosa ripoti iliyoundwa na Taasisi ya Tiba ya Mifupa (MOI) na kuunda. Picha ni ya Edwin Mujwahuzi.

No comments:

MHE. NDEJEMBI AHIMIZA USHIRIKIANO WA WAKUU WA MIKOA NA WILAYA KATIKA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA NISHATI

Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, leo tarehe 22 Januari, 2026, amezungumza katika Mkutano wa Tathmini ya Utekelezaji wa Mkataba w...