Hebu cheki hizi taarifa huyu jamaa Waziri Mkuu wa Canada aliyekuwapo jana hapa nchini kumbe ana soo, hivi karibuni
alipokuwapo huko Santiago, Chile alilazimika kuingilia mlango wa nyuma wa ofisi za kampuni ya Barrick Gold kukwepa kuzomewa.
Ilimbidi achelewe saa mbili huku akiwa chini ya ulinzi mkali uliojumuisha maboard guard, polisi na vikosi malumu, Stephen Harper (Waziri Mkuu wa Canada) aliwasili katika ofisi za Barrick Gold na akaingia kupitia mlango wa nyuma majira ya mchana akikwepa umati wa wananchi waliokuwa wakiandamana tangu saa mbili asubuhi.
Harper, anadhaniwa kufanya madudu kibao katika ziara yake hiyo ambayo amelazimika kuingia bongo akazungumza mawili matatu, lakini kwa baadhi ya madudu yake hebu mcheki hapa THE DOMINION NEWSPAPER eeee bwana noma kweli.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
RAIS SAMlA AFANYA MAZUNGUMZO NA MJUMBE MAALUM WA RAIS TSHISEKEDI
Dar es Salaam, 26 Machi 2025 – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan , amekutana na kufanya mazungu...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
(Picha na Yahya Charahani) Kwa wale waliokulia maeneo haya, hili ni jambo la kawaida ukitoka mjini, shambani sijui hadi wapi kote ni haya h...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
No comments:
Post a Comment