Tuesday, November 06, 2007

Makamba Katibu Mkuu tena





Katibu Mkuu wa CCM Yusuf Makamba akiwa katika ukumbi wa NEC leo karejea kama Katibu Mkuu
Rostam Aziz Kastep down
Kapteni Jaka Mwambi - Nje
Amos Makala -Mweka hazina
Aggrey Mwanri - Nje
Kidawa hamisi Swaleh -Yupo- Mipango
Salehe Ramadhan Feruz- Yumo- Naibu Katibu Mkuu, Zanzibar
Kapteni John Chiligati - Katibu Mwenezi
Kapteni George Mkuchika - Naibu Katibu Mkuu
Bernard Kamilius Membe -Katibu wa Siasa na uhusiano wa Kimataifa

Safu ya sekretarieti iliyopita na nyadhifa zao katika mabano ni Yusuf Makamba (Katibu Mkuu), Jaka Mwambi (Naibu Katibu Mkuu, Bara), Salehe Ramadhan Ferouz (Naibu Katibu Mkuu, Zanzibar).
 
Rostam Aziz (Katibu wa Uchumi na Fedha wa CCM Taifa), Kidawa Hamid (Katibu wa Oganaizesheni wa CCM Taifa), Aggrey Mwanri (Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Taifa), Dk Asha Rose Migiro (Katibu wa Siasa na Uhusiano wa Kimataifa wa CCM), Kidawa hamis Swaleh.

picha kutoka kwa mdau BUKUKU

No comments: