Wednesday, November 14, 2007

Said Kubenea ndani ya nyumba


Jamani eeehhh kijiji chetu kimevamiwa na hivi sasa ameingia mvamizi wa nguvu anatisha kama ukoma mwanamapinduzi Said Kubenea (pichani) jamaa asiyeogopa wala kutishwa kanambia yuko fiti katika hili anga la blogu, anashuka na zote kali tupu h ebu mcheki hapa KUBENEA ili mpate taarifa zaidi.

No comments:

RAIS SAMIA AMTEMBELEA PACOME, AMPATIA POLE NA KUMTAKIA AFYA NJEMA

  Dar es Salaam – Mchezaji wa klabu ya Yanga, Pacome Zouzoua , amepata faraja ya kipekee baada ya kutembelewa na Rais wa Jamhuri ya Muungan...