Wednesday, November 14, 2007

Said Kubenea ndani ya nyumba


Jamani eeehhh kijiji chetu kimevamiwa na hivi sasa ameingia mvamizi wa nguvu anatisha kama ukoma mwanamapinduzi Said Kubenea (pichani) jamaa asiyeogopa wala kutishwa kanambia yuko fiti katika hili anga la blogu, anashuka na zote kali tupu h ebu mcheki hapa KUBENEA ili mpate taarifa zaidi.

No comments:

KAMISHNA BADRU ATAKA UBUNIFU ILI KUENDELEZA MAPANGO YA AMBONI

KAMISHNA BADRU ATAKA UBUNIFU ILI KUENDELEZA MAPANGO YA AMBONI  Na Hamis Dambaya, Amboni Tanga. Kamishna wa Uhifadhi Mamlaka ya Hifadhi ya Ng...