Friday, November 09, 2007

King Kikiii akiwa na Hussein Jumbe

Hawa jamaa sijui kama kuna asiyewajua ndiyo magwiji wa muziki wa dansi, hivi sasa Hussein yuko huko Mikumi Sound na dingi anadunda town mambo mpwitompwito muziki wa dansi oyyeeeeee!!!!!

No comments:

Waziri Kombo akutana na Mkuu wa Misheni ya Uangalizi wa Uchaguzi ya Umoja wa Afrika

   Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo amekutana na Mkuu wa Misheni ya Uangalizi wa U...