Friday, November 09, 2007

King Kikiii akiwa na Hussein Jumbe

Hawa jamaa sijui kama kuna asiyewajua ndiyo magwiji wa muziki wa dansi, hivi sasa Hussein yuko huko Mikumi Sound na dingi anadunda town mambo mpwitompwito muziki wa dansi oyyeeeeee!!!!!

No comments:

RAIS DKT. SAMIA AMUAPISHA DKT. MWIGULU KUWA WAZIRI MKUU WA TANZANIA

Katika hafla yenye utofauti, heshima na hamasa mpya kwa Taifa, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan , leo ...