Tuesday, November 20, 2007

Mambo yameiva kampala






Waandishi wa habari wanao-cover Mkutano wa Wakuu wa nchi za Jumuiya ya madola (CHOGM) wakiwa katika kituo cha habari jijini Kampala. Kituo hicho kilifunguliwa rasmi kwaajili ya waandishi wa habari kuanza kukitumia jana, waandishi wa habari takribani 1,000 kutoka kona zote za dunia wamekusanyika mjini hapo kusakanya habari za mkutano huo unaoanza Ijumaa na kumalizika Jumapili Picha ya Xinhua

1 comment:

Anonymous said...

kaka naomba picha ya mama lwakatare...
Haki Hapa...