Tuesday, November 20, 2007

Mambo yameiva kampala


Waandishi wa habari wanao-cover Mkutano wa Wakuu wa nchi za Jumuiya ya madola (CHOGM) wakiwa katika kituo cha habari jijini Kampala. Kituo hicho kilifunguliwa rasmi kwaajili ya waandishi wa habari kuanza kukitumia jana, waandishi wa habari takribani 1,000 kutoka kona zote za dunia wamekusanyika mjini hapo kusakanya habari za mkutano huo unaoanza Ijumaa na kumalizika Jumapili Picha ya Xinhua

1 comment:

Anonymous said...

kaka naomba picha ya mama lwakatare...
Haki Hapa...

RAIS DKT. MWINYI: TUWALEE VIJANA KATIKA MAADILI, TUDUMISHE AMANI KUELEKEA UCHAGUZI

Zanzibar, 11 Julai 2025 — Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ametoa wito wa kitaifa kwa ...