Saturday, December 01, 2007

Leo ndo mambozzz


Richa bwana kwa mapozi si mchezo ijui leo atapeta.


Baadhi ya washiriki wa Miss World 2007 hapo kesho kutoka kushoto ni Miss Nigeria Munachi Gail Teresa Abii, Miss Singapore Roshni Kaur Soin, Miss Peurto Rico Jennifer Guevara Campos, Miss Trinidad and Tobago Valene Maharaj and Miss Tanzania Richa Maria Adhia.picha ii imepigwa leo Sanya, Hainan Island. Mashindano ya Miss World hapo kesho yatafanyika ndani ya Sanya tourist resort.

No comments:

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...