Inatia mashaka huu mjadala unaoendelea wa kuvutana oooh mara Zitto ajitoe , mara sijui hakutakiwa kuingia katika kamati, mara atajimaliza kisiasa, duhhh kazi kweli kweli, sasa wengine wanadai kwamba kuvurugika kwa amani ndani ya Chadema kunatokana na pesa chafu kumwagwa ndani ya Chadema ndo maana hawaelewani. Lakini swali linabakia pale pale hivi Zitto Zuberi kabwe ajitoe katika kamati kwa lipi hasa baya.
Monday, November 19, 2007
Hivi wanataka Zitto ajitoe ili iweje
Inatia mashaka huu mjadala unaoendelea wa kuvutana oooh mara Zitto ajitoe , mara sijui hakutakiwa kuingia katika kamati, mara atajimaliza kisiasa, duhhh kazi kweli kweli, sasa wengine wanadai kwamba kuvurugika kwa amani ndani ya Chadema kunatokana na pesa chafu kumwagwa ndani ya Chadema ndo maana hawaelewani. Lakini swali linabakia pale pale hivi Zitto Zuberi kabwe ajitoe katika kamati kwa lipi hasa baya.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
NAIBU WAZIRI WA FEDHA AMWAKILISHA WAZIRI WA FEDHA KATIKA KONGAMANO LA 16 LA MWAKA LA WATAALAM WA UNUNUZI NA UGAVI – ARUSHA
Naibu Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Mhandisi Mshamu Ali Munde, amemwakilisha Waziri wa Fedha katika ufunguzi wa Kongamano la 16 la Mwaka la Wa...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
No comments:
Post a Comment