Monday, November 19, 2007

Hivi wanataka Zitto ajitoe ili iweje


Inatia mashaka huu mjadala unaoendelea wa kuvutana oooh mara Zitto ajitoe , mara sijui hakutakiwa kuingia katika kamati, mara atajimaliza kisiasa, duhhh kazi kweli kweli, sasa wengine wanadai kwamba kuvurugika kwa amani ndani ya Chadema kunatokana na pesa chafu kumwagwa ndani ya Chadema ndo maana hawaelewani. Lakini swali linabakia pale pale hivi Zitto Zuberi kabwe ajitoe katika kamati kwa lipi hasa baya.

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...