Tuesday, November 06, 2007

Kazi imekwisha wajumbe safarini



Baadhi ya wajumbe wa mkutano mkuu wa CCM wakijiandaa kukwea gogo ili kurejea makwao, wengine waliondoka jana na wengine wataondoka leo jioni kwa usafiri wa aina mbalimbali, kila la kheri wajumbe wa CCM.

No comments:

RC ARUSHA APOKEA UJUMBE WA MABUNGE DUNIANI (IPU)

  . Kufanya Mkutano wa Mabunge Mkoani Arusha  .Wajumbe zaidi ya 1500 kutoka nchi wanachama wa IPU kuhudhuria  . Rais Dkt. Samia apendekezwa ...