Friday, July 10, 2009

Morogoro leo




Mfanyabiashara wa kuuza machungwa katika Manispaa ya Morogoro akitayarisha machungwa kwa kumenya maganda huku mteja akirufuhaia kula tunda hilo katika eneo la uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro.

Mchuuzi wa kuuza nguo za mitumba mjini Morogoro akifurahia jambo huku mteja wake wakati akichagua nguo hicho alizoweka katika beka jirani na stendi ya daladala mjini hapa. (Picha na Juma Mtanda.

Prof. Mfaransa Aja na Kitabu: Aiambia Dunia Kutalii Tanzania ni Tiba

Na Mwandishi Wetu Paris, Ufaransa Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana, akiwa nchini Ufaransa jana Julai 8, 2025 amek...