Monday, October 06, 2008

Rais Ravalomanana awasili


Makamau wa Rais Dk Ali Mohamed Shein akisalimiana na Rais wa Jamhuri ya Watu wa Madagaska Bw. Marcravalomanana, katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere mara baada ya kuwasili nchini kwa ziara ya kiserikali.

No comments:

RAIS SAMIA AENDELEZA DIPLOMASIA YA KIMATAIFA DUBAI, ALAKIWA NA MAZUNGUMZO NA MTAWALA WA DUBAI KANDO YA WGS 2026

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan , ameendelea kuimarisha diplomasia ya kimataifa kwa kufanya m...