Sunday, October 26, 2008

Ali Choki atoka kivyake

Pamoja na unene alionao, Aisha Madinda bado anakandamiza misosi kwa kwenda mbele. Kamera yetu ilimnasa jana akikandamiza chips nyama choma alizoagiza nje ya hoteli hiyo kukwepa gharama. Aliyenaye ni mtoto wa kaka'ke.

Meneja wa bendi ya muziki wa dansi ya T-Respect, Ali Choki (wapili kutoka kulia) akiwa katika harakati za kurekodi picha za Video ya wimbo wake “Mfano kwa vijana” pamoja na wanenguaji maarufu kutoka bendi mbalimbali akiwemo Aisha Madina (Kulia) kutoka Afican Stars Twanga Pepeta. Hii ilikuwa ni jana ndani ya viunga vya Hotel ya kisasa ya Atriums Sinza Africa Sana Jijini Dar es Salaam. Kwa niaba ya Global Publishers.

No comments:

NAIBU WAZIRI WA FEDHA AMWAKILISHA WAZIRI WA FEDHA KATIKA KONGAMANO LA 16 LA MWAKA LA WATAALAM WA UNUNUZI NA UGAVI – ARUSHA

Naibu Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Mhandisi Mshamu Ali Munde, amemwakilisha Waziri wa Fedha katika ufunguzi wa Kongamano la 16 la Mwaka la Wa...