Sunday, October 26, 2008

Ali Choki atoka kivyake

Pamoja na unene alionao, Aisha Madinda bado anakandamiza misosi kwa kwenda mbele. Kamera yetu ilimnasa jana akikandamiza chips nyama choma alizoagiza nje ya hoteli hiyo kukwepa gharama. Aliyenaye ni mtoto wa kaka'ke.

Meneja wa bendi ya muziki wa dansi ya T-Respect, Ali Choki (wapili kutoka kulia) akiwa katika harakati za kurekodi picha za Video ya wimbo wake “Mfano kwa vijana” pamoja na wanenguaji maarufu kutoka bendi mbalimbali akiwemo Aisha Madina (Kulia) kutoka Afican Stars Twanga Pepeta. Hii ilikuwa ni jana ndani ya viunga vya Hotel ya kisasa ya Atriums Sinza Africa Sana Jijini Dar es Salaam. Kwa niaba ya Global Publishers.

No comments:

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...