Sunday, October 05, 2008

Mabalozi wapo Tarime


picha ya kwanza ni Mkuu wa kikosi maalum cha operation, Venance Toss akiwa pamoja na
mkuu wa kikosi cha kuzuwia fujo(FFU) Anavlet Trasphery wakiwa wanawapokea mabalozi,
Janet Siddall wa Canada,Philip Parham wa Uingereza na Staffan Herrtrom wa Sweeden
ambao walifika jana Tarime kujionea hali ya kampeni hasa kutokana na kupata taarifa
za vurugu na ukiukwaji wa taratibu za uchaguzi. picha na mussa juma.

No comments:

Ujumbe wa DRC watoa msaada kituo cha wakimbizi NMC - Kigoma

  Waziri wa Nchi, anayeshughulikia  Masuala ya Ustawi wa Jamii, Hatua za Kibinadamu na Mshikamano kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (D...