Sunday, October 05, 2008

Mabalozi wapo Tarime


picha ya kwanza ni Mkuu wa kikosi maalum cha operation, Venance Toss akiwa pamoja na
mkuu wa kikosi cha kuzuwia fujo(FFU) Anavlet Trasphery wakiwa wanawapokea mabalozi,
Janet Siddall wa Canada,Philip Parham wa Uingereza na Staffan Herrtrom wa Sweeden
ambao walifika jana Tarime kujionea hali ya kampeni hasa kutokana na kupata taarifa
za vurugu na ukiukwaji wa taratibu za uchaguzi. picha na mussa juma.

No comments:

RAIS SAMIA AENDELEZA DIPLOMASIA YA KIMATAIFA DUBAI, ALAKIWA NA MAZUNGUMZO NA MTAWALA WA DUBAI KANDO YA WGS 2026

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan , ameendelea kuimarisha diplomasia ya kimataifa kwa kufanya m...