Sunday, October 05, 2008

Mabalozi wapo Tarime


picha ya kwanza ni Mkuu wa kikosi maalum cha operation, Venance Toss akiwa pamoja na
mkuu wa kikosi cha kuzuwia fujo(FFU) Anavlet Trasphery wakiwa wanawapokea mabalozi,
Janet Siddall wa Canada,Philip Parham wa Uingereza na Staffan Herrtrom wa Sweeden
ambao walifika jana Tarime kujionea hali ya kampeni hasa kutokana na kupata taarifa
za vurugu na ukiukwaji wa taratibu za uchaguzi. picha na mussa juma.

No comments:

NAIBU WAZIRI WA FEDHA AMWAKILISHA WAZIRI WA FEDHA KATIKA KONGAMANO LA 16 LA MWAKA LA WATAALAM WA UNUNUZI NA UGAVI – ARUSHA

Naibu Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Mhandisi Mshamu Ali Munde, amemwakilisha Waziri wa Fedha katika ufunguzi wa Kongamano la 16 la Mwaka la Wa...