Friday, October 10, 2008

Johannesburg ya Tanzania


Inaitwa Johannesburg Hotel ni hoteli matata sana hapa jijini Dar, viwango vyake ndugu yangu bila shaka vinaonekana kwa macho ya kawaida, ipo katika maeneo poa sana. Picha kwa hisani ya mdau wa charaz.blogspot.com

No comments:

WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA BELARUS AWASILI NCHINI KWA ZIARA YA KIKAZI

  Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Belarus, Mheshimiwa Maxim Ryzhenkov, amewasili nchini kwa ziara ya kikazi ya siku tatu kuanzia Aprili...