Friday, October 10, 2008

Johannesburg ya Tanzania


Inaitwa Johannesburg Hotel ni hoteli matata sana hapa jijini Dar, viwango vyake ndugu yangu bila shaka vinaonekana kwa macho ya kawaida, ipo katika maeneo poa sana. Picha kwa hisani ya mdau wa charaz.blogspot.com

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...