Friday, October 10, 2008

Johannesburg ya Tanzania


Inaitwa Johannesburg Hotel ni hoteli matata sana hapa jijini Dar, viwango vyake ndugu yangu bila shaka vinaonekana kwa macho ya kawaida, ipo katika maeneo poa sana. Picha kwa hisani ya mdau wa charaz.blogspot.com

No comments:

RC ARUSHA APOKEA UJUMBE WA MABUNGE DUNIANI (IPU)

  . Kufanya Mkutano wa Mabunge Mkoani Arusha  .Wajumbe zaidi ya 1500 kutoka nchi wanachama wa IPU kuhudhuria  . Rais Dkt. Samia apendekezwa ...