Friday, October 10, 2008

Johannesburg ya Tanzania


Inaitwa Johannesburg Hotel ni hoteli matata sana hapa jijini Dar, viwango vyake ndugu yangu bila shaka vinaonekana kwa macho ya kawaida, ipo katika maeneo poa sana. Picha kwa hisani ya mdau wa charaz.blogspot.com

No comments:

KAMISHNA BADRU ATAKA UBUNIFU ILI KUENDELEZA MAPANGO YA AMBONI

KAMISHNA BADRU ATAKA UBUNIFU ILI KUENDELEZA MAPANGO YA AMBONI  Na Hamis Dambaya, Amboni Tanga. Kamishna wa Uhifadhi Mamlaka ya Hifadhi ya Ng...