Monday, October 27, 2008

Odemba ang'ara Miss Earth 2008


Miriam Odemba mwakilishi wa Tanzania ktk Miss Earth 2008 huko ktk Jiji la Puerto Princesa magharibi mwa visiwa vya Philippine ni mmoja wa warembo wachache wanaopewa nafasi ya kufanya vyema ktk fainali zitakazo fanyika tarehe 9, Novemba mwaka huu. Picha: afp

No comments:

NAIBU WAZIRI WA FEDHA AMWAKILISHA WAZIRI WA FEDHA KATIKA KONGAMANO LA 16 LA MWAKA LA WATAALAM WA UNUNUZI NA UGAVI – ARUSHA

Naibu Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Mhandisi Mshamu Ali Munde, amemwakilisha Waziri wa Fedha katika ufunguzi wa Kongamano la 16 la Mwaka la Wa...