Monday, October 27, 2008

Odemba ang'ara Miss Earth 2008


Miriam Odemba mwakilishi wa Tanzania ktk Miss Earth 2008 huko ktk Jiji la Puerto Princesa magharibi mwa visiwa vya Philippine ni mmoja wa warembo wachache wanaopewa nafasi ya kufanya vyema ktk fainali zitakazo fanyika tarehe 9, Novemba mwaka huu. Picha: afp

No comments:

KAMISHNA BADRU ATAKA UBUNIFU ILI KUENDELEZA MAPANGO YA AMBONI

KAMISHNA BADRU ATAKA UBUNIFU ILI KUENDELEZA MAPANGO YA AMBONI  Na Hamis Dambaya, Amboni Tanga. Kamishna wa Uhifadhi Mamlaka ya Hifadhi ya Ng...