Tuesday, October 14, 2008

Nyerere Day



Askari wa kikosi cha Jeshi la Kujenga Taifa Makutupora wakiangalia sanamu ya Hayati Julius Nyerere wakati wa maadhimisho ya siku ya kumbukumbu ya miaka 9 tangu kifo chake iliyofanyika kimkoa katika viwanja vya mwalimu Nyerere mjini Dodoma . Picha na Jube Tranquilino

No comments:

WAZIRI MKUU MHE. KASSIM MAJALIWA AMALIZA ZIARA YA SIKU MOJA MKOANI MBEYA

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Kassim Majaliwa Majaliwa (Mb), leo ameondoka Mkoani Mbeya baada ya kukamilisha zi...