Tuesday, October 14, 2008

Nyerere Day



Askari wa kikosi cha Jeshi la Kujenga Taifa Makutupora wakiangalia sanamu ya Hayati Julius Nyerere wakati wa maadhimisho ya siku ya kumbukumbu ya miaka 9 tangu kifo chake iliyofanyika kimkoa katika viwanja vya mwalimu Nyerere mjini Dodoma . Picha na Jube Tranquilino

No comments:

RC ARUSHA APOKEA UJUMBE WA MABUNGE DUNIANI (IPU)

  . Kufanya Mkutano wa Mabunge Mkoani Arusha  .Wajumbe zaidi ya 1500 kutoka nchi wanachama wa IPU kuhudhuria  . Rais Dkt. Samia apendekezwa ...