Tuesday, October 14, 2008

Nyerere Day



Askari wa kikosi cha Jeshi la Kujenga Taifa Makutupora wakiangalia sanamu ya Hayati Julius Nyerere wakati wa maadhimisho ya siku ya kumbukumbu ya miaka 9 tangu kifo chake iliyofanyika kimkoa katika viwanja vya mwalimu Nyerere mjini Dodoma . Picha na Jube Tranquilino

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI DUA MAALUM KUMUENZI HAYATI KARUME, MIAKA 54 BAADA YA KUUAWA KWAKE

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan , jana tarehe 07 Aprili 2026 aliungana na viongozi mbalimbali pamoja na wananch...