Wednesday, October 01, 2008

Rais Kikwete

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na waumini wenzake katika Sala ya Iddi katika msikiti wa Kinondoni Muslim leo asubuhi.Rais Kikwete alirejea nchini jana usiku akitokea nchini Marekani ambapo alilihutubia Baraza la Umoja wa Mataifa(The Un Generalk Assembly).

No comments:

🔴🔴TABORA ZOO YAENDELEA KUNG'ARA KAMA KITOVU CHA ELIMU, BURUDANI NA UTALII WA NDANI

Na Mwandishi wetu, Tabora. Bustani ya Wanyamapori Tabora (Tabora Zoo) imeendelea kujipambanua kama kivutio muhimu cha elimu na burudani jiji...