Wednesday, October 01, 2008

Rais Kikwete

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na waumini wenzake katika Sala ya Iddi katika msikiti wa Kinondoni Muslim leo asubuhi.Rais Kikwete alirejea nchini jana usiku akitokea nchini Marekani ambapo alilihutubia Baraza la Umoja wa Mataifa(The Un Generalk Assembly).

No comments:

NHC YAKABIDHI MSAADA KWA WATU WENYE ULEMAVU UBUNGO

  Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), kupitia kwa Afisa wake Mkuu wa Habari, Yahya Charahani, limekabidhi msaada wa vifaa vya kusaidia watu we...