Wednesday, October 01, 2008

Rais Kikwete

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na waumini wenzake katika Sala ya Iddi katika msikiti wa Kinondoni Muslim leo asubuhi.Rais Kikwete alirejea nchini jana usiku akitokea nchini Marekani ambapo alilihutubia Baraza la Umoja wa Mataifa(The Un Generalk Assembly).

No comments:

SERIKALI YATOA MAELEKEZO NANE KUIMARISHA KAMPUNI AMBAZO INA UMILIKI HISA CHACHE KUELEKEA DIRA 2050

Arusha. Serikali imetoa maelekezo nane ya kimkakati yanayolenga kuimarisha utendaji wa kampuni ambazo ina umiliki wa hisa  chache, ikiwa ni ...