Wednesday, October 01, 2008

Rais Kikwete

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na waumini wenzake katika Sala ya Iddi katika msikiti wa Kinondoni Muslim leo asubuhi.Rais Kikwete alirejea nchini jana usiku akitokea nchini Marekani ambapo alilihutubia Baraza la Umoja wa Mataifa(The Un Generalk Assembly).

No comments:

NAIBU WAZIRI WA FEDHA AMWAKILISHA WAZIRI WA FEDHA KATIKA KONGAMANO LA 16 LA MWAKA LA WATAALAM WA UNUNUZI NA UGAVI – ARUSHA

Naibu Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Mhandisi Mshamu Ali Munde, amemwakilisha Waziri wa Fedha katika ufunguzi wa Kongamano la 16 la Mwaka la Wa...