Wednesday, October 22, 2008

Jk akiwa kampala

Akihutubia mkutano wa wakuu wa mataifa takribani 16 ya Afrika ambapo amependekeza kuunganishwa kwa SADC, COMESSA na EAC

Rais Jakaya Kikwete akipokea maua kutaka kwa binti Abigairi Murungimara tu baada ya kuwasili kenye uwanja wa ndege entebe hukouganda,aliyesimama kulia ni waziri wa ardhi, nyumba na maendeleo ya makazi wauganda, mheshimiwa omara atubo PICHA NA JOHN LUKUWI WA MAELEZO Akibadilishana mawazo na Kibaki

No comments:

RAIS SAMIA APOKEA RIPOTI YA MABORESHO YA MFUMO WA KODI, ASISITIZA UCHUMI JUMUISHI NA ENDELEVU 🇹🇿

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye hafla ya kupokea Ripoti ya Tume ya Rais ya Kutathm...