Wednesday, October 22, 2008

Jk akiwa kampala

Akihutubia mkutano wa wakuu wa mataifa takribani 16 ya Afrika ambapo amependekeza kuunganishwa kwa SADC, COMESSA na EAC

Rais Jakaya Kikwete akipokea maua kutaka kwa binti Abigairi Murungimara tu baada ya kuwasili kenye uwanja wa ndege entebe hukouganda,aliyesimama kulia ni waziri wa ardhi, nyumba na maendeleo ya makazi wauganda, mheshimiwa omara atubo PICHA NA JOHN LUKUWI WA MAELEZO Akibadilishana mawazo na Kibaki

No comments:

Ujumbe wa DRC watoa msaada kituo cha wakimbizi NMC - Kigoma

  Waziri wa Nchi, anayeshughulikia  Masuala ya Ustawi wa Jamii, Hatua za Kibinadamu na Mshikamano kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (D...