Monday, October 27, 2008

MOTO WATEKETEZA KITUO CHA MAFUTA MWANZA



Picha za gari aina la scania lenye namba za usajili T 228 AAT likiwa limewaka moto katika kituo cha mafuta cha Mansoor Oil cha jijini Mwanza. Moto huo ulizuka majira ya saa 7.45 mchana na kuzimwa majira ya saa 10.00 jioni. Picha ya Paulina David.

No comments:

RC ARUSHA APOKEA UJUMBE WA MABUNGE DUNIANI (IPU)

  . Kufanya Mkutano wa Mabunge Mkoani Arusha  .Wajumbe zaidi ya 1500 kutoka nchi wanachama wa IPU kuhudhuria  . Rais Dkt. Samia apendekezwa ...