Picha za gari aina la scania lenye namba za usajili T 228 AAT likiwa limewaka moto katika kituo cha mafuta cha Mansoor Oil cha jijini Mwanza. Moto huo ulizuka majira ya saa 7.45 mchana na kuzimwa majira ya saa 10.00 jioni. Picha ya Paulina David.
Monday, October 27, 2008
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
RC ARUSHA APOKEA UJUMBE WA MABUNGE DUNIANI (IPU)
. Kufanya Mkutano wa Mabunge Mkoani Arusha .Wajumbe zaidi ya 1500 kutoka nchi wanachama wa IPU kuhudhuria . Rais Dkt. Samia apendekezwa ...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
(Picha na Yahya Charahani) Katika kijiji cha Mwanjoro, wilayani Meatu – Shinyanga, maisha bado yanapumulia kwenye nyumba za udongo na mapaa...
No comments:
Post a Comment