Sunday, October 12, 2008

Matembezi



Meya wa jiji la Dar es Salaam, Adam Kimbisa (wa pili kushoto) akiongoza matembezi ya kilomita kumi yaliyoandaliwa na Benki ya Barclays kuchangia jamii. Picha ya mdau Salhim Shao.

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...