Sunday, October 12, 2008

Matembezi



Meya wa jiji la Dar es Salaam, Adam Kimbisa (wa pili kushoto) akiongoza matembezi ya kilomita kumi yaliyoandaliwa na Benki ya Barclays kuchangia jamii. Picha ya mdau Salhim Shao.

No comments:

WAZIRI SANGU: MAHUSIANO MEMA MSINGI WA UMOJA WA TAIFA

✅ Ahimiza Mshikamano katika kujenga Tanzania Imara Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano, Mhe. Deus Clement Sangu ...