Sunday, October 12, 2008

Matembezi



Meya wa jiji la Dar es Salaam, Adam Kimbisa (wa pili kushoto) akiongoza matembezi ya kilomita kumi yaliyoandaliwa na Benki ya Barclays kuchangia jamii. Picha ya mdau Salhim Shao.

No comments:

TANZANIA NA COMORO ZAENDELEZA USHIRIKIANO WA KISWAHILI KWA KUANZISHA MAZUNGUMZO YA KUFUNDISHA LUGHA HIYO MASHULENI

Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Mhe. Zainab Telack, kupitia kwa Mkuu wa Wilaya ya Lindi, Mhe. Victoria Mwanziva, ametamka kuwa Serikali inatambua na ...