mwenyekiti wa CHADEMA, Freman Mbowe akizungumza katika mkutano wa hadhara katika uwanja wa Menonite jana mara baada ya kuwasili Tarime kutoka Jijini Dar es Salaam ambapo alipokewa na maandamano makubwa kutokea mpakani mwa wilaya ya Tarime na Rolya zaidi ya kilometa 25 toka Tarime mjini. Picha na Mussa Juma
Tuesday, October 07, 2008
Mbowe mzima
mwenyekiti wa CHADEMA, Freman Mbowe akizungumza katika mkutano wa hadhara katika uwanja wa Menonite jana mara baada ya kuwasili Tarime kutoka Jijini Dar es Salaam ambapo alipokewa na maandamano makubwa kutokea mpakani mwa wilaya ya Tarime na Rolya zaidi ya kilometa 25 toka Tarime mjini. Picha na Mussa Juma
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kaimu Mkurugenzi Mbarali Apokea Mkataba wa Ujenzi wa Kiwanda cha Kuchakata Mafuta ya Alizeti
Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali , Bi. Gloria Komba, amepokea rasmi mkataba wa ujenzi wa jengo la kuchakata mafuta ya al...

-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
1 comment:
Ni mpaka kieleweke sio!
Ningekuwa mimi ningewaacha wananchi wa Tarime wampate mbunge wao bila kuingiliwa.
Haya maandamano ya kumpokea yanatupa ujumbe ambao tayari tulishaupata baada ya kutandikwa kwa Mtikila.
Mpaka kieleweke. Hakuna kulala.
Post a Comment