Sunday, October 12, 2008

Chadema ni kufuru tupu

Taarifa tulizozikusanya katika kata zaidi ya saba za mjini inaonyesha kuwa CCM imeibuka na ushindi mkubwa na tayari imeshajitangazia ushindi katika kata ya Tarime Mjini.



picha ya kwanza ni askari polisi akiwa analinda moja ya vituo vya kupiga kura katika eneo la nyameaya .wilayani tarime jana.
picha na mussa juma pichani ni mgombea ubunge wa chadema charles mwera kati kati akishauriana na vijana katika kijiji cha nyamwaya jana ambao walikuwa hawaoni majina yao katika daftari la kupigia kura jana.

No comments:

NAIBU WAZIRI WA FEDHA AMWAKILISHA WAZIRI WA FEDHA KATIKA KONGAMANO LA 16 LA MWAKA LA WATAALAM WA UNUNUZI NA UGAVI – ARUSHA

Naibu Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Mhandisi Mshamu Ali Munde, amemwakilisha Waziri wa Fedha katika ufunguzi wa Kongamano la 16 la Mwaka la Wa...