Sunday, October 12, 2008

Chadema ni kufuru tupu

Taarifa tulizozikusanya katika kata zaidi ya saba za mjini inaonyesha kuwa CCM imeibuka na ushindi mkubwa na tayari imeshajitangazia ushindi katika kata ya Tarime Mjini.



picha ya kwanza ni askari polisi akiwa analinda moja ya vituo vya kupiga kura katika eneo la nyameaya .wilayani tarime jana.
picha na mussa juma pichani ni mgombea ubunge wa chadema charles mwera kati kati akishauriana na vijana katika kijiji cha nyamwaya jana ambao walikuwa hawaoni majina yao katika daftari la kupigia kura jana.

No comments:

WAZIRI SANGU: MAHUSIANO MEMA MSINGI WA UMOJA WA TAIFA

✅ Ahimiza Mshikamano katika kujenga Tanzania Imara Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano, Mhe. Deus Clement Sangu ...