Thursday, October 09, 2008

kampeni


Pichani ni moja ya mabango ya vijana wa CHADEMA kumlalamikia kamanda wa kikosi maalum Venance Tossi kutokana na kusambaratishwa jumatatu usiku baada ya kutuhumiwa kufanya maandamano bila ya kibali.


pichani ni moja ya mabango ya vijana wa CHADEMA kumlalamikia kamanda wa kikosi maalum Venance Tossi kutokana na kusambaratishwa jumatatu usiku baada ya kutuhumiwa kufanya maandamano bila ya kibali. picha zote na Mussa Juma.

No comments:

TANAPA YAZINDUA RASMI APP YAKE KUPANUA UTALII DUNIANI

Na. Calvin Katera - Mikumi Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA), limezindua rasmi Programu Tumizi "App" yake Leo Oktoba 0...