Thursday, October 09, 2008

kampeni


Pichani ni moja ya mabango ya vijana wa CHADEMA kumlalamikia kamanda wa kikosi maalum Venance Tossi kutokana na kusambaratishwa jumatatu usiku baada ya kutuhumiwa kufanya maandamano bila ya kibali.


pichani ni moja ya mabango ya vijana wa CHADEMA kumlalamikia kamanda wa kikosi maalum Venance Tossi kutokana na kusambaratishwa jumatatu usiku baada ya kutuhumiwa kufanya maandamano bila ya kibali. picha zote na Mussa Juma.

No comments:

NAIBU WAZIRI WA FEDHA AMWAKILISHA WAZIRI WA FEDHA KATIKA KONGAMANO LA 16 LA MWAKA LA WATAALAM WA UNUNUZI NA UGAVI – ARUSHA

Naibu Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Mhandisi Mshamu Ali Munde, amemwakilisha Waziri wa Fedha katika ufunguzi wa Kongamano la 16 la Mwaka la Wa...