Thursday, October 09, 2008

kampeni


Pichani ni moja ya mabango ya vijana wa CHADEMA kumlalamikia kamanda wa kikosi maalum Venance Tossi kutokana na kusambaratishwa jumatatu usiku baada ya kutuhumiwa kufanya maandamano bila ya kibali.


pichani ni moja ya mabango ya vijana wa CHADEMA kumlalamikia kamanda wa kikosi maalum Venance Tossi kutokana na kusambaratishwa jumatatu usiku baada ya kutuhumiwa kufanya maandamano bila ya kibali. picha zote na Mussa Juma.

No comments:

KAMISHNA BADRU ATAKA UBUNIFU ILI KUENDELEZA MAPANGO YA AMBONI

KAMISHNA BADRU ATAKA UBUNIFU ILI KUENDELEZA MAPANGO YA AMBONI  Na Hamis Dambaya, Amboni Tanga. Kamishna wa Uhifadhi Mamlaka ya Hifadhi ya Ng...