Thursday, October 09, 2008

kampeni


Pichani ni moja ya mabango ya vijana wa CHADEMA kumlalamikia kamanda wa kikosi maalum Venance Tossi kutokana na kusambaratishwa jumatatu usiku baada ya kutuhumiwa kufanya maandamano bila ya kibali.


pichani ni moja ya mabango ya vijana wa CHADEMA kumlalamikia kamanda wa kikosi maalum Venance Tossi kutokana na kusambaratishwa jumatatu usiku baada ya kutuhumiwa kufanya maandamano bila ya kibali. picha zote na Mussa Juma.

No comments:

WAZIRI NDEJEMBI ASITISHA UUZWAJI ARDHI ENEO LA MAHOMANYIKA

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Deogratius Ndejembi amesitisha mara moja uuzaji wowote wa kipande cha ardhi eneo la Maho...