Monday, October 06, 2008

ajali Tarime


Picha ya kwanza ni baadhi ya polisi pamoja na Wagombea wa ubunge jimbo la Tarime, Christopher Nangoye (CCM) mwenye shati na kijani na Charles Mwera anayemfuata wakibeba miili ya watu waliofariki katika ajali ya gari jana baada ya gari walilokuwa wamepanda kuangukiwa na Lori katika eneo la Mikoa jirani na Tarime. Watu watano walifariki katika ajali hiyo.

No comments:

NAIBU WAZIRI WA FEDHA AMWAKILISHA WAZIRI WA FEDHA KATIKA KONGAMANO LA 16 LA MWAKA LA WATAALAM WA UNUNUZI NA UGAVI – ARUSHA

Naibu Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Mhandisi Mshamu Ali Munde, amemwakilisha Waziri wa Fedha katika ufunguzi wa Kongamano la 16 la Mwaka la Wa...