Monday, October 06, 2008

ajali Tarime


Picha ya kwanza ni baadhi ya polisi pamoja na Wagombea wa ubunge jimbo la Tarime, Christopher Nangoye (CCM) mwenye shati na kijani na Charles Mwera anayemfuata wakibeba miili ya watu waliofariki katika ajali ya gari jana baada ya gari walilokuwa wamepanda kuangukiwa na Lori katika eneo la Mikoa jirani na Tarime. Watu watano walifariki katika ajali hiyo.

No comments:

RC ARUSHA APOKEA UJUMBE WA MABUNGE DUNIANI (IPU)

  . Kufanya Mkutano wa Mabunge Mkoani Arusha  .Wajumbe zaidi ya 1500 kutoka nchi wanachama wa IPU kuhudhuria  . Rais Dkt. Samia apendekezwa ...