Monday, October 06, 2008

ajali Tarime


Picha ya kwanza ni baadhi ya polisi pamoja na Wagombea wa ubunge jimbo la Tarime, Christopher Nangoye (CCM) mwenye shati na kijani na Charles Mwera anayemfuata wakibeba miili ya watu waliofariki katika ajali ya gari jana baada ya gari walilokuwa wamepanda kuangukiwa na Lori katika eneo la Mikoa jirani na Tarime. Watu watano walifariki katika ajali hiyo.

No comments:

WAZIRI MKUU MHE. KASSIM MAJALIWA AMALIZA ZIARA YA SIKU MOJA MKOANI MBEYA

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Kassim Majaliwa Majaliwa (Mb), leo ameondoka Mkoani Mbeya baada ya kukamilisha zi...