Picha ya kwanza ni baadhi ya polisi pamoja na Wagombea wa ubunge jimbo la Tarime, Christopher Nangoye (CCM) mwenye shati na kijani na Charles Mwera anayemfuata wakibeba miili ya watu waliofariki katika ajali ya gari jana baada ya gari walilokuwa wamepanda kuangukiwa na Lori katika eneo la Mikoa jirani na Tarime. Watu watano walifariki katika ajali hiyo.
Monday, October 06, 2008
ajali Tarime
Picha ya kwanza ni baadhi ya polisi pamoja na Wagombea wa ubunge jimbo la Tarime, Christopher Nangoye (CCM) mwenye shati na kijani na Charles Mwera anayemfuata wakibeba miili ya watu waliofariki katika ajali ya gari jana baada ya gari walilokuwa wamepanda kuangukiwa na Lori katika eneo la Mikoa jirani na Tarime. Watu watano walifariki katika ajali hiyo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan Ashuhudia Utiaji Saini wa Mikataba ya Ushirikiano Kati ya Tanzania na Angola
Luanda, Angola – 08 Aprili 2025 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan , leo ameshuhudia utiaji saini wa mi...

-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
(Picha na Yahya Charahani) Kwa wale waliokulia maeneo haya, hili ni jambo la kawaida ukitoka mjini, shambani sijui hadi wapi kote ni haya h...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
No comments:
Post a Comment