Monday, October 13, 2008

Chadema yashinda uchaguzi









Chama cha Demokrasia na Maendeleo kimeshinda uchaguzi wa jimbo la Tarime na kuibuka na kura 34,345 za mgombea Charles Mwera dhidi ya 28,996 za Chama Cha Mapinduzi (CCM), na mgombea wake Christopher Kangoye

No comments:

WAZIRI MKUU MHE. KASSIM MAJALIWA AMALIZA ZIARA YA SIKU MOJA MKOANI MBEYA

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Kassim Majaliwa Majaliwa (Mb), leo ameondoka Mkoani Mbeya baada ya kukamilisha zi...