Tuesday, October 21, 2008

Rais Khama awasili nchini


Rais Jakaya Kikwete Akimtambulisha Rais Seretse Khama Ian Khama kwa baadhi ya Mawaziri wa ke mara tu ya kuwasili Uwanjani hapo kwa ziara ya kikazi ya siku mbili nchini


Rais Seretse Khama Ian Khama Wa Botswana akipokea maua kutoka kwa Mtoto Sara Elias mara tu ya kuwasili kwenye Uwanja Wa Kimataifa Wa Kilimajaro Huku Pembe Akiwa na Mwenyeji Wake Rais Jakaya Kikwete


Rais Jakaya Kikwete Akimkaribisha Rais Seretse Khama Ian Khama Wa Botswana Alipowasili Punde baada ya kuwasili kwenye Uwanja Wa Ndege Cha Kimataifa Wa Kilimanjaro (KIA) kwa ziara ya kikazi ya siku Mbili nchini

No comments:

Kaimu Mkurugenzi Mbarali Apokea Mkataba wa Ujenzi wa Kiwanda cha Kuchakata Mafuta ya Alizeti

Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali , Bi. Gloria Komba, amepokea rasmi mkataba wa ujenzi wa jengo la kuchakata mafuta ya al...