Wednesday, October 15, 2008

Mgomo wa walimu




Mmoja wa walimu akilia wakati wa makutano waaalimu katika ukumbi wa Diamond Jublee Dar es Salaam jana wakati wa makutano wa maamdalizi ya mgomo wa waalimu kwa nchi nzima uliokuwa uanze leo na kupigwa marufuku na Mahakama Kuu Divisheni ya Kazi jana. Picha na Emmanuel Herman

Walimu waliojawa na jazba wakiwashutumu viongozi wa Chama cha Waalimu Tanzania (CWT), kwa kutaganza kusitishwa na mgomo kutokana na amri ya Mahakama.

No comments: