Wednesday, October 15, 2008

Mgomo wa walimu




Mmoja wa walimu akilia wakati wa makutano waaalimu katika ukumbi wa Diamond Jublee Dar es Salaam jana wakati wa makutano wa maamdalizi ya mgomo wa waalimu kwa nchi nzima uliokuwa uanze leo na kupigwa marufuku na Mahakama Kuu Divisheni ya Kazi jana. Picha na Emmanuel Herman

Walimu waliojawa na jazba wakiwashutumu viongozi wa Chama cha Waalimu Tanzania (CWT), kwa kutaganza kusitishwa na mgomo kutokana na amri ya Mahakama.

No comments:

RAIS SAMIA APOKEA RIPOTI YA MABORESHO YA MFUMO WA KODI, ASISITIZA UCHUMI JUMUISHI NA ENDELEVU 🇹🇿

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye hafla ya kupokea Ripoti ya Tume ya Rais ya Kutathm...