Thursday, September 02, 2010

Nyumba ya mwalimu




Nyumba anayoishi mtumishi wa Serikali Mwalimu Domisiana Mpenda wa shule ya Msingi Iyenge iliyopo wilayani Mpwapwa mkoani Dodoma. Picha na Israel Mgussi.

1 comment:

chib said...

Inasikitisha sana hali hii.

🔴🔴TABORA ZOO YAENDELEA KUNG'ARA KAMA KITOVU CHA ELIMU, BURUDANI NA UTALII WA NDANI

Na Mwandishi wetu, Tabora. Bustani ya Wanyamapori Tabora (Tabora Zoo) imeendelea kujipambanua kama kivutio muhimu cha elimu na burudani jiji...