Tuesday, September 30, 2008

Pinda ziarani Ghana


Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikagua gwaride baada ya kuwasili kwenye uwanja wa
ndege wa Kotoko International Airport uliopo Accra, Ghana September 30, 2008
ambaco amemwakilisha Rais JakayaKikwete katika Mkutano wa 6 wa Wakuu wa Nchi za
Jumuiya ya Africa , Caribbean na Pasifiki. Kushoto ni Waziri wa Nchi wa Ghana,
S.K. Boaf (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

1 comment:

Anonymous said...

Actually when someone doesn't be aware of afterward its up to other viewers that they will assist, so here it happens.

Take a look at my site: vakantiehuisjes **

WIZARA YA AFYA YAOMBA SH. TRILIONI 1.8 BAJETI YA 2026/2027

  Wizara ya Afya imeomba kuidhinishiwa jumla ya Shilingi trilioni 1.8 kwa mwaka wa fedha 2026/2027 kwa ajili ya kuendelea kuboresha huduma z...