Sunday, September 14, 2008

Msongamano

Baadhi ya abiria na wafanyakazi wa daladala zinazotumia kituo cha Mwenge wanalalamika kwa kutokuwa na huduma ya choo katika kituo hicho, wameiomba manispaa ya Kinondoni kujenga choo. Deus Mhagale.

No comments:

  ‎
Bodi ya Kitaaluma ya Ununuzi na Ugavi (PSPTB), inayofanya kazi chini ya Wizara ya Fedha, imetoa onyo kali kwa watahiniwa wote wa fani ...