Sunday, September 14, 2008

Msongamano

Baadhi ya abiria na wafanyakazi wa daladala zinazotumia kituo cha Mwenge wanalalamika kwa kutokuwa na huduma ya choo katika kituo hicho, wameiomba manispaa ya Kinondoni kujenga choo. Deus Mhagale.

No comments:

Compact Energies: Nishati ya Jua Ni Chachu ya Mageuzi ya Uchumi Tanzania

  Na Mwandishi Wetu KAMPUNI ya Kitanzania ya Compact Energies, inayojihusisha na uzalishaji na usambazaji wa vifaa vya kisasa vinavyotumia n...