Sunday, September 14, 2008

Msongamano

Baadhi ya abiria na wafanyakazi wa daladala zinazotumia kituo cha Mwenge wanalalamika kwa kutokuwa na huduma ya choo katika kituo hicho, wameiomba manispaa ya Kinondoni kujenga choo. Deus Mhagale.

No comments:

RAIS SAMlA AFANYA MAZUNGUMZO NA MJUMBE MAALUM WA RAIS TSHISEKEDI

  Dar es Salaam, 26 Machi 2025 – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan , amekutana na kufanya mazungu...