



Bomoabomoa hiyo ilitokea jana majira saa 9:00 alasiri baada ya uvamizi huo kutokea na kusambaratisha nyumba na vitu vyote vilivyokuwemo ndani.
Mwananchi ilifika eneo hilo mara baada ya tukio hilo na kuwakuta wanafamilia hao wakilia kwa uchungu huku wakilalamikia kitendo hicho ambacho wamekiita ni cha ukatili. habari zaidi soma Mwananchi.Habari yote hii imendikwa na Salim Said ambaye pia kapiga picha zote.
No comments:
Post a Comment