Friday, September 05, 2008

JK aongoza mazishi ya Mwanawasa


Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika Rais Jakaya Kikwete akimfariji Patrick Mwanawasa mtoto wa kwanza wa kiume wa Rais wa Zambia Marehemu Dr.Levy Mwanawasa,wakati wa mazishi ya kiongozi huyo yaliyofanyika jijini Lusaka

Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimpa pole Rais wa kwanza wa Zambia Dr.Keneth Kaunda wakati wa mazishi ya Rais wa Zambia Marehemu Dr.Levy Mwanawasa,yaliyofanyika jijini Lusaka Zambia jana.Rais Kikwete amerejea jijini Dar es Salaam jana jioni.

Mjane wa aliyekuwa Rais wa Zambia Maureen Mwanawasa akiwa katika majonzi wakati wa mazishi ya mumewe yaliyofanyika jana katika makaburi ya Embassy Park Lusaka Zambia

No comments: