Friday, September 19, 2008

usingizi nomaaa


Mlinzi akiuchapa usingizi katika lindo mjini Dodoma bila ya kujua kuwa anahatarisha
usalama wake na wa mali anayolinda kwa kutolinda vyema silaha yake.Picha na Jube
Tranquilino

No comments:

  ‎
Bodi ya Kitaaluma ya Ununuzi na Ugavi (PSPTB), inayofanya kazi chini ya Wizara ya Fedha, imetoa onyo kali kwa watahiniwa wote wa fani ...