Friday, September 19, 2008

usingizi nomaaa


Mlinzi akiuchapa usingizi katika lindo mjini Dodoma bila ya kujua kuwa anahatarisha
usalama wake na wa mali anayolinda kwa kutolinda vyema silaha yake.Picha na Jube
Tranquilino

No comments:

RAIS MWINYI: SMZ KUIMARISHA MFUMO WA KIDIGITALI KATIKA KUDHIBITI AJALI NA MAKOSA YA BARABARANI

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe.Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Serikali inaendelea kujipanga kuimarisha matumiz...