Tuesday, September 02, 2008

Mwana wa tanzania


Maisha ya Watoto wetu wa kitanzania kwa kiasi kikubwa yamegubikwa na mitihani mingi, na ili kuishinda inabidi kutumia jitihada kubwa hebu cheki mtoto huyu amejitwika mzigo wa kuni, hivi mustakabali wa mtoto huyu na wenzake ukoje iwapo baadhi ya wazee wetu wanaendelea kukoboa maliasili zetu zote kwa manufaa yao binafsi jamani tuisaidie Tanzania.

No comments:

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...