Tuesday, September 02, 2008

Mwana wa tanzania


Maisha ya Watoto wetu wa kitanzania kwa kiasi kikubwa yamegubikwa na mitihani mingi, na ili kuishinda inabidi kutumia jitihada kubwa hebu cheki mtoto huyu amejitwika mzigo wa kuni, hivi mustakabali wa mtoto huyu na wenzake ukoje iwapo baadhi ya wazee wetu wanaendelea kukoboa maliasili zetu zote kwa manufaa yao binafsi jamani tuisaidie Tanzania.

No comments:

RAIS DKT. MWINYI: TUWALEE VIJANA KATIKA MAADILI, TUDUMISHE AMANI KUELEKEA UCHAGUZI

Zanzibar, 11 Julai 2025 — Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ametoa wito wa kitaifa kwa ...