Tuesday, September 02, 2008

Mwana wa tanzania


Maisha ya Watoto wetu wa kitanzania kwa kiasi kikubwa yamegubikwa na mitihani mingi, na ili kuishinda inabidi kutumia jitihada kubwa hebu cheki mtoto huyu amejitwika mzigo wa kuni, hivi mustakabali wa mtoto huyu na wenzake ukoje iwapo baadhi ya wazee wetu wanaendelea kukoboa maliasili zetu zote kwa manufaa yao binafsi jamani tuisaidie Tanzania.

No comments:

SIKU YA MSIKILIZAJI HABARI MAALUM MEDIA YALETA UCHUNGUZI WA MOYO BURE NGARAMTONI

Matroni wa Hospitali ya Arusha Lutheran Medical Center (ALMC) inayosimamiwa na Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Sr. Flora Kasembe akito...