Tuesday, September 02, 2008

Mwana wa tanzania


Maisha ya Watoto wetu wa kitanzania kwa kiasi kikubwa yamegubikwa na mitihani mingi, na ili kuishinda inabidi kutumia jitihada kubwa hebu cheki mtoto huyu amejitwika mzigo wa kuni, hivi mustakabali wa mtoto huyu na wenzake ukoje iwapo baadhi ya wazee wetu wanaendelea kukoboa maliasili zetu zote kwa manufaa yao binafsi jamani tuisaidie Tanzania.

No comments:

🔴🔴TABORA ZOO YAENDELEA KUNG'ARA KAMA KITOVU CHA ELIMU, BURUDANI NA UTALII WA NDANI

Na Mwandishi wetu, Tabora. Bustani ya Wanyamapori Tabora (Tabora Zoo) imeendelea kujipambanua kama kivutio muhimu cha elimu na burudani jiji...