Sunday, September 21, 2008

Watoto shuleni



Watoto wa Shule ya Sekondari Mbezi Msigani wakifanya mambo ndani ya shule yao wakati wa hafla ya kuwaaga wenzao wanaotarajiwa kuanza nitihani ya kuhitimu kidato cha nne mwaka huu. Picha na MIchael Matemanga.

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI DUA MAALUM KUMUENZI HAYATI KARUME, MIAKA 54 BAADA YA KUUAWA KWAKE

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan , jana tarehe 07 Aprili 2026 aliungana na viongozi mbalimbali pamoja na wananch...