Sunday, September 21, 2008

Watoto shuleni



Watoto wa Shule ya Sekondari Mbezi Msigani wakifanya mambo ndani ya shule yao wakati wa hafla ya kuwaaga wenzao wanaotarajiwa kuanza nitihani ya kuhitimu kidato cha nne mwaka huu. Picha na MIchael Matemanga.

No comments:

TANAPA YAZINDUA RASMI APP YAKE KUPANUA UTALII DUNIANI

Na. Calvin Katera - Mikumi Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA), limezindua rasmi Programu Tumizi "App" yake Leo Oktoba 0...