Sunday, September 21, 2008

Watoto shuleni



Watoto wa Shule ya Sekondari Mbezi Msigani wakifanya mambo ndani ya shule yao wakati wa hafla ya kuwaaga wenzao wanaotarajiwa kuanza nitihani ya kuhitimu kidato cha nne mwaka huu. Picha na MIchael Matemanga.

No comments:

RAIS MWINYI: SMZ KUIMARISHA MFUMO WA KIDIGITALI KATIKA KUDHIBITI AJALI NA MAKOSA YA BARABARANI

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe.Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Serikali inaendelea kujipanga kuimarisha matumiz...