Friday, September 26, 2008

Mtikila na siasa zake za maji taka

Mchungaji Christopher Mtikila akiwa hospitalini baada ya kutibiwa jeraha na mwenyekiti wa chama hjichowilayani Tarime Christian Nyakihita akionyesha jiwe na shati la mtikila ambalolilikuwa limelowa damu.(Picha na Frederick Katulanda)

1 comment:

Anonymous said...

Ropa Ropa mwisho utaropoka.
Ndio yaliyomkuta ndugu yetu

KASI YA UJENZI WA RELI YA SGR IMEONGEZEKA – PROF. MBARAWA

  Wahudumu wa ndani (Train crew) wa shirika la reli Tanzania (TRC) upande wa Standard Gauge Railway (SGR) wamehudhuria Bungeni Jijini Dodoma...