
Vipaji vya watoto huanza kujichomoza mapema wangali wachanga hebu cheki kama hapa hawa watoto wanaonekana kuwa na vipaji vingi, wengine hapa ni madaktari, wengine watakuwa wanasiasa na wengine ndo hivyoo maji lazima yafuate mkondo wake.
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Kassim Majaliwa Majaliwa (Mb), leo ameondoka Mkoani Mbeya baada ya kukamilisha zi...
No comments:
Post a Comment