Tuesday, September 09, 2008

watoto jamani


Vipaji vya watoto huanza kujichomoza mapema wangali wachanga hebu cheki kama hapa hawa watoto wanaonekana kuwa na vipaji vingi, wengine hapa ni madaktari, wengine watakuwa wanasiasa na wengine ndo hivyoo maji lazima yafuate mkondo wake.

No comments:

MBUNGE WA BUNGE LA NORWAY AVUTIWA NA VIVUTIO VYA SERENGETI, AIKARIBISHA DUNIA KUTEMBELEA TANZANIA

Mbunge wa Bunge la Norway, Mhe. Himanshu Gulati , akiongozana na mwenyeji wake, Mbunge wa Jimbo la Buchosa, Mhe. Eric Shigongo , ametembelea...