Tuesday, September 09, 2008

Rudisha chenji bwanaaa


Abiria waliokuwa wamepanda kwenye dala dala aina ya Hiace, linalofanya safari zake kati ya Ubungo na Tabata jijini Dar es Salaam (kulia na kushoto), wakimkwida kondakta wa dala dala hilo kutokana na kutokukubaliana naye kuhusu nauli baada ya kushuka katika kituo cha Tabata Relini jana. Picha na Kassim Mbarouk.

No comments:

WAZIRI MKUU MHE. KASSIM MAJALIWA AMALIZA ZIARA YA SIKU MOJA MKOANI MBEYA

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Kassim Majaliwa Majaliwa (Mb), leo ameondoka Mkoani Mbeya baada ya kukamilisha zi...