Tuesday, September 09, 2008

Rudisha chenji bwanaaa


Abiria waliokuwa wamepanda kwenye dala dala aina ya Hiace, linalofanya safari zake kati ya Ubungo na Tabata jijini Dar es Salaam (kulia na kushoto), wakimkwida kondakta wa dala dala hilo kutokana na kutokukubaliana naye kuhusu nauli baada ya kushuka katika kituo cha Tabata Relini jana. Picha na Kassim Mbarouk.

No comments: