Abiria waliokuwa wamepanda kwenye dala dala aina ya Hiace, linalofanya safari zake kati ya Ubungo na Tabata jijini Dar es Salaam (kulia na kushoto), wakimkwida kondakta wa dala dala hilo kutokana na kutokukubaliana naye kuhusu nauli baada ya kushuka katika kituo cha Tabata Relini jana. Picha na Kassim Mbarouk.
Tuesday, September 09, 2008
Rudisha chenji bwanaaa
Abiria waliokuwa wamepanda kwenye dala dala aina ya Hiace, linalofanya safari zake kati ya Ubungo na Tabata jijini Dar es Salaam (kulia na kushoto), wakimkwida kondakta wa dala dala hilo kutokana na kutokukubaliana naye kuhusu nauli baada ya kushuka katika kituo cha Tabata Relini jana. Picha na Kassim Mbarouk.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
NHC YAKABIDHI MSAADA KWA WATU WENYE ULEMAVU UBUNGO
Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), kupitia kwa Afisa wake Mkuu wa Habari, Yahya Charahani, limekabidhi msaada wa vifaa vya kusaidia watu we...

-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
No comments:
Post a Comment