Abiria waliokuwa wamepanda kwenye dala dala aina ya Hiace, linalofanya safari zake kati ya Ubungo na Tabata jijini Dar es Salaam (kulia na kushoto), wakimkwida kondakta wa dala dala hilo kutokana na kutokukubaliana naye kuhusu nauli baada ya kushuka katika kituo cha Tabata Relini jana. Picha na Kassim Mbarouk.
Tuesday, September 09, 2008
Rudisha chenji bwanaaa
Abiria waliokuwa wamepanda kwenye dala dala aina ya Hiace, linalofanya safari zake kati ya Ubungo na Tabata jijini Dar es Salaam (kulia na kushoto), wakimkwida kondakta wa dala dala hilo kutokana na kutokukubaliana naye kuhusu nauli baada ya kushuka katika kituo cha Tabata Relini jana. Picha na Kassim Mbarouk.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
🔴🔴TABORA ZOO YAENDELEA KUNG'ARA KAMA KITOVU CHA ELIMU, BURUDANI NA UTALII WA NDANI
Na Mwandishi wetu, Tabora. Bustani ya Wanyamapori Tabora (Tabora Zoo) imeendelea kujipambanua kama kivutio muhimu cha elimu na burudani jiji...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
(Picha na Yahya Charahani) Katika kijiji cha Mwanjoro, wilayani Meatu – Shinyanga, maisha bado yanapumulia kwenye nyumba za udongo na mapaa...
No comments:
Post a Comment