Wednesday, September 03, 2008

Afya ya huyu jamaa itakuwaje baadaye


Kijana ambaye jina halikuweza kufahamika mara moja alikutwa akizibua choo bila ya kuwa na vifaa maalumu vya kujikinga na magonjwa ya milipuko hivi karibuni katika eneo la Manzese jijini Dar es Salaam. Picha ya Venance Nestory.

No comments:

RAIS DKT. MWINYI: TUWALEE VIJANA KATIKA MAADILI, TUDUMISHE AMANI KUELEKEA UCHAGUZI

Zanzibar, 11 Julai 2025 — Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ametoa wito wa kitaifa kwa ...