Wednesday, September 03, 2008

Afya ya huyu jamaa itakuwaje baadaye


Kijana ambaye jina halikuweza kufahamika mara moja alikutwa akizibua choo bila ya kuwa na vifaa maalumu vya kujikinga na magonjwa ya milipuko hivi karibuni katika eneo la Manzese jijini Dar es Salaam. Picha ya Venance Nestory.

No comments:

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...