Thursday, July 27, 2017

Spika ashiriki katika mkutano wa Maspika wa Mabunge ya Jumuia ya Madola Barani Afrika uliofanyika, mjini Abuja, Nigeria

Mhe Spika Job Ndugai akisalimiana na Spika wa Bunge la Nigeria,Mhe Alhaji Yakubu Dogara wakati wa ufunguzi wa mkutano wa 18 wa Maspika wa Mabunge ya Jumuiya ya Madola Barani Afrika unaofanyika Abuja nchini humo.
IMG-20170726-WA0034 (1)
Mhe Spika Job Ndugai akisalimiana na Kaimu Rais wa Nigeria Mhe Prof.Yemi Osinbajo wakati wa ufunguzi wa mkutano wa 18 wa Maspika wa Mabunge ya Jumuiya ya Madola Barani Afrika unaofanyika Abuja nchini humo.

No comments:

MAKAMU WA RAIS AFUNGUA KONGAMANO LA VIJANA KATIKA KUMBUKIZI YA KUZALIWA BABA WA TAIFA HAYATI MWL. J.K NYERERE

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi ametoa wito kwa vijana kusimama imara na kulinda umoja, ...