Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, David Misonge Shambwe akizungumza na Wadau waliofika kwenye Shirika la Nyumba la Taifa kujadili Mpango kina wa Mji wa Kawe ambapo wadau hao waliunga mkono mpango kina huo uliowasilishwa kwao na Mshauri Mwelekezi na kuahidi kushiriki bega kwa bega katika uendelezaji wa Mji Mpya wa Kawe
Baadhi ya Wadau waliofika kwenye Shirika la Nyumba la Taifa kujadili Mpango kina wa Mji wa Kawe ambapo wadau hao waliunga mkono mpango kina huo uliowasilishwa kwao na Mshauri Mwelekezi na kuahidi kushiriki bega kwa bega katika uendelezaji wa Mji Mpya wa Kawe
Baadhi ya Wadau waliofika kwenye Shirika la Nyumba la Taifa kujadili Mpango kina wa Mji wa Kawe ambapo wadau hao waliunga mkono mpango kina huo uliowasilishwa kwao na Mshauri Mwelekezi na kuahidi kushiriki bega kwa bega katika uendelezaji wa Mji Mpya wa Kawe.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
RAIS SAMIA AMKARIBISHA RAIS WA NAMIBIA KATIKA ZIARA YA KITAIFA, WAIMARISHA USHIRIKIANO WA KIDIPLOMASIA NA MAENDELEO
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Namibia Mhe. Dkt....
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Pascal Mayalla akiwa katika chumba cha wagonjwa Daraja la kwanza katika hospitali ya mkoa wa Dodoma ambako amelazwa kwa matibabu baada ya ku...
No comments:
Post a Comment