Monday, July 24, 2017

SHIRIKA LA NYUMBA LA TAIFA LAWAKUTANISHA WADAU KUJADILI MPANGO KINA WA MJI WA KAWE

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, David Misonge Shambwe akizungumza na Wadau waliofika kwenye Shirika la Nyumba la Taifa kujadili Mpango kina wa Mji wa Kawe ambapo wadau hao waliunga mkono mpango kina huo uliowasilishwa kwao na Mshauri Mwelekezi na kuahidi kushiriki bega kwa bega katika uendelezaji wa Mji Mpya wa Kawe
Baadhi ya Wadau waliofika kwenye Shirika la Nyumba la Taifa kujadili Mpango kina wa Mji wa Kawe ambapo wadau hao waliunga mkono mpango kina huo uliowasilishwa kwao na Mshauri Mwelekezi na kuahidi kushiriki bega kwa bega katika uendelezaji wa Mji Mpya wa Kawe
Baadhi ya Wadau waliofika kwenye Shirika la Nyumba la Taifa kujadili Mpango kina wa Mji wa Kawe ambapo wadau hao waliunga mkono mpango kina huo uliowasilishwa kwao na Mshauri Mwelekezi na kuahidi kushiriki bega kwa bega katika uendelezaji wa Mji Mpya wa Kawe.

No comments:

Rais Samia Aongoza Wito wa Amani na Upendo kuelekea Uchaguzi Mkuu

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na viongozi mbalimbali pamoja na wageni waalikwa waliohudh...