Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, David Misonge Shambwe akizungumza na Wadau waliofika kwenye Shirika la Nyumba la Taifa kujadili Mpango kina wa Mji wa Kawe ambapo wadau hao waliunga mkono mpango kina huo uliowasilishwa kwao na Mshauri Mwelekezi na kuahidi kushiriki bega kwa bega katika uendelezaji wa Mji Mpya wa Kawe
Baadhi ya Wadau waliofika kwenye Shirika la Nyumba la Taifa kujadili Mpango kina wa Mji wa Kawe ambapo wadau hao waliunga mkono mpango kina huo uliowasilishwa kwao na Mshauri Mwelekezi na kuahidi kushiriki bega kwa bega katika uendelezaji wa Mji Mpya wa Kawe
Baadhi ya Wadau waliofika kwenye Shirika la Nyumba la Taifa kujadili Mpango kina wa Mji wa Kawe ambapo wadau hao waliunga mkono mpango kina huo uliowasilishwa kwao na Mshauri Mwelekezi na kuahidi kushiriki bega kwa bega katika uendelezaji wa Mji Mpya wa Kawe.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
KAMISHNA BADRU ATAKA UBUNIFU ILI KUENDELEZA MAPANGO YA AMBONI
KAMISHNA BADRU ATAKA UBUNIFU ILI KUENDELEZA MAPANGO YA AMBONI Na Hamis Dambaya, Amboni Tanga. Kamishna wa Uhifadhi Mamlaka ya Hifadhi ya Ng...

-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
No comments:
Post a Comment