Saturday, July 15, 2017

MAKAMU WA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN AMJULIA HALI MTOTO WA RAIS MSTAAFU KHALFAN KIKWETE


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan jana amemjulia hali mtoto wa Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Khalfan Kikwete ambaye amelazwa katika wodi ya Sewa Haji katika hospitali ya Taifa Muhimbili jijini Dar es Salaam,Pichani kulia ni Rais Mstaafu Dkt Jakaya Kikwete akiwa na Mkewe Salma Kikwete. (# Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)

No comments: