Friday, July 07, 2017

MWANAMUZIKI SHAABAN DEDE AZIKWA LEO JIJINI DAR

Sehemu ya Waumini wa Kiislam pamoja na waombolezaji wengine, wakishiriki kwenye Mazishi ya Marehemu Shaaban Dede, katika Makaburi ya Kisutu jijini Dar es salaam leo.

Baadhi ya ndugu, Jamaa na Marafiki wa karibu wa Marehemu Shaaban Dede wakielekea katika Makaburi ya Kisutu jijini Dar es Salaam.
Mbunge wa Jimbo la Chalinze, Ridhwan Kikwete akizungumza na Waandishi wa Habari katika Mazishi hayo yaliyofanyika katika Makaburi ya Kisutu jijini Dar es Salaam leo. 
Katibu Mtendaji wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA), Godfrey Mngereza akitoa Salamu za Rambirambi kwa niaba ya Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, katika Mazishi hayo yaliyofanyika katika Makaburi ya Kisutu jijini Dar es Salaam.

No comments: